Alhamisi, 15 Juni 2017
Yaliyojiri Katika SABATO YA "UJIRANI MWEMA" Sinza SDA -June 3, 2017
![]() |
Muimbaji Angel Magoti akitoa huduma ya Nyimbo |
Kundi la The Voice TZ na Muimbaji Angel Magoti wakitoa huduma ya Uimbaji |
![]() |
Kwaya Ya Kanisa la Lugalo SDA ikitoa huduma ya uimbaji siku hiyo. |
![]() |
Dada Janeth Mpangala (Mshiriki wa Sinza SDA) akiwa na Moja ya Wageni Maalum ambao ni watu wenye ulemavu wa Ngozi (Albino) -Kituo cha Ilala |
![]() |
Viongozi wa Shgule ya Sabato Sinza na Waandaji wa Sabato ya UJIRANI MWEMA 2017 |
![]() |
Kwaya ya Vijana Sinza SDA ikitoa huduma |
Waimbaji Dorothea, Neema na Witness wakimtukuza Kristo kwa uimbaji |
![]() |
Dada Neema Miongoni mwa viongozi wa Shule ya Sabato Sinza SDA walioandaa Sabato ya Ujirani Mwema |
![]() |
Mwl. Daniel John akiongoza huduma ya uimbaji |
![]() |
Mzee wa Kanisa na Mzee Mshauri Jackson Nyatega |
![]() |
Mzee wa Kanisa na Mshauri wa Idara ya Shule ya Sabato Jackson Nyatega Akilisha Keki mmoja wa waumini waliohudhuria Sabato ya Wageni Sinza SDA |
![]() |
|
Kwaya ya Sauti ya Nyikani ilikuwa ni moja ya kwaya tatu zilizopata nafasi ya kufungua mkutano wa TMI Mwenge SDA, Juni 10, 2017
Kwaya ya Vijana Sinza SDA yapata tuzo ya cheti cha Shukrani kwa Utumishi bora katika kazi ya Mungu kanisani Sinza
Siku Ya Idara ya Watoto Sinza SDA
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)