Jumatatu, 6 Julai 2015

MATUKIO KATIKA PICHA YA KAMBI LA CHIMALA, MBEYA JUNI 21 - 28, 2015

Master Guide Kelvin Peter(Aliyevaa Uniform) akipata chai na Vijana wa kambi
Balozi Neria, Neema, na Suzy kutoka kanisa la Sinza pamoja na AY Mariamu wakifuatilia mafunzo kwa makini

Vijana kwa makini wakisikiliza ibada siku ya Sabato 
Vijana katika pozi
Master Guide Memory (kushoto)
Master Guide Bibi Mpungu
Mkuu wa kamati ya Mapishi kambini Chimala
Master Memory & Shedrack 
Shedrack Steven
Mkurugenzi wa Watafutanjia
Master Shedrack akitengeneza mahali pa huduma ya choo 
Master Kelvin & Memory wakipika kwa ajili ya vijana 
Vijana wa Mtaa wa Manzese unaojumuhisha makanisa ya Sinza, Tandale na Manzese wakiwa njiani kuelekea Chimala, Mbeya katika kambi la mafunzo la Watafutanjia June 21, 2015.

Makazi ya Wanakambi
Watafutanjia Daniel & Chibasa katiak pozi wakifurahia mazingira ya kambi

Watafutanjia Pendo & Emmy katika pozi kambini Mbeya 


Adventurer Alice akiwa na baadhi ya Pathfinders

Adventurer Alice katika pozi
Balozi Neema (amesimama) akiwa makini kabisa kuhakikisha kila mwanakambi anapata huduma ya chai, kutoka kulia ni Mkuu wa Msafara Master Guide Madandi, AY Mariamu, Master Guide Rebecca na Bibi Mpungu wakipata chai.
Vijana wakipata huduma ya chai kwa kutumia meza ya ubunifu kabisa kambini, Hii ndyo aina ya meza maarufu inayotumika kambini kwa ajili ya chakula,

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Toa maoni hapa...