![]() |
| Muimbaji Angel Magoti akitoa huduma ya Nyimbo |
| Kundi la The Voice TZ na Muimbaji Angel Magoti wakitoa huduma ya Uimbaji |
![]() |
| Kwaya Ya Kanisa la Lugalo SDA ikitoa huduma ya uimbaji siku hiyo. |
![]() |
| Dada Janeth Mpangala (Mshiriki wa Sinza SDA) akiwa na Moja ya Wageni Maalum ambao ni watu wenye ulemavu wa Ngozi (Albino) -Kituo cha Ilala |
![]() |
| Viongozi wa Shgule ya Sabato Sinza na Waandaji wa Sabato ya UJIRANI MWEMA 2017 |
![]() |
| Kwaya ya Vijana Sinza SDA ikitoa huduma |
| Waimbaji Dorothea, Neema na Witness wakimtukuza Kristo kwa uimbaji |
![]() |
| Dada Neema Miongoni mwa viongozi wa Shule ya Sabato Sinza SDA walioandaa Sabato ya Ujirani Mwema |
![]() |
| Mwl. Daniel John akiongoza huduma ya uimbaji |
![]() |
| Mzee wa Kanisa na Mzee Mshauri Jackson Nyatega |
![]() |
| Mzee wa Kanisa na Mshauri wa Idara ya Shule ya Sabato Jackson Nyatega Akilisha Keki mmoja wa waumini waliohudhuria Sabato ya Wageni Sinza SDA |
![]() |














Hakuna maoni:
Chapisha Maoni
Toa maoni hapa...