Alhamisi, 15 Juni 2017

Yaliyojiri Katika SABATO YA "UJIRANI MWEMA" Sinza SDA -June 3, 2017

Muimbaji Angel Magoti akitoa huduma ya Nyimbo

Kundi la The Voice TZ na Muimbaji Angel Magoti wakitoa huduma ya Uimbaji
Kwaya Ya Kanisa la Lugalo SDA ikitoa huduma ya uimbaji siku hiyo.

Dada Janeth Mpangala (Mshiriki wa Sinza SDA) akiwa na Moja ya Wageni Maalum ambao ni watu wenye ulemavu wa Ngozi (Albino) -Kituo cha Ilala
Viongozi wa Shgule ya Sabato Sinza na Waandaji wa Sabato ya UJIRANI MWEMA 2017


Kwaya ya Vijana Sinza SDA ikitoa huduma



Waimbaji Dorothea, Neema na Witness wakimtukuza Kristo kwa uimbaji


Dada Neema Miongoni mwa viongozi wa Shule ya Sabato Sinza SDA walioandaa Sabato ya Ujirani Mwema



Mwl. Daniel John akiongoza huduma ya uimbaji





Mzee wa Kanisa na Mzee Mshauri Jackson Nyatega

Mzee wa Kanisa na Mshauri wa Idara ya Shule ya Sabato Jackson Nyatega Akilisha Keki mmoja wa waumini waliohudhuria Sabato ya Wageni Sinza SDA
  • Waandaaji wa siku maalum ya "Ujirani Mwema",  Mkurugenzi wa shule ya sabato 
  • Mrs. Kulwa Majenga na Mkurugenzi Msaidizi Mrs. Mecktrida Mfui.



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Toa maoni hapa...