Ijumaa, 18 Agosti 2017

Baadhi ya Matukio katika Picha ya yaliyojiri katika Sabato maalum ya Idara ya Huduma za watoto kanisa la Waadventisa wa sabato Sinza, August 12, 2017

Watoto ambao waliongoza ibada ya Sabato hiyo wakijiweka wakfu kwa ajili ya kuanza ibada


Watoto waliohudumu kama Mashemasi wa zamu wakiingia, tayari kwa kuanza  ibada

Washiriki wakifuatilia kwa makini Ibada ya Sabato maalum ya Idara ya Huduma za Watoto





Kwaya ya Watoto ikiimba

Mzee wa Kanisa Jackson Nyatega na Kiongozi wa Uwakili Kanisani Reid Mchome wakifuatilia Ibada hiyo
Mzee Kiongozi Joseph Kengela akiongoza ibada ya Kubariki Mtoto wa Mshiriki na Shemasi Mkuu wa kiume Mr. Kelvin Tumaini aliyeambatana na Mkewe.











Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Toa maoni hapa...