Jumamosi, 18 Julai 2015

HABARI PICHA KATIKA IBADA YA LEO SINZA SDA CHURCH

Mtumishi wa Mungu Ashery Anthony  akinena na waumini waliohudhuria ibada ya Sinza leo

Kwaya ya kanisa la Sinza Sauti Ya Nyikani ikimtukuza Mungu katika ibada ya leo 







Kwa unyenyekevu mbele za Mungu waumini hawa walikuwa wakifuatilia Neno la Mungu kwa umakini kabisa.




Wa kwanza kabisa kutoka mbele ni Shemasi Mkuu Robert Petro akifuatilia kwa makini ibada ya leo.

Waumini wakifuatilia hubiri

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Toa maoni hapa...