![]() |
| Mtumishi wa Mungu Ashery Anthony akinena na waumini waliohudhuria ibada ya Sinza leo |
![]() |
| Kwaya ya kanisa la Sinza Sauti Ya Nyikani ikimtukuza Mungu katika ibada ya leo |
![]() |
| Kwa unyenyekevu mbele za Mungu waumini hawa walikuwa wakifuatilia Neno la Mungu kwa umakini kabisa. |
![]() |
| Wa kwanza kabisa kutoka mbele ni Shemasi Mkuu Robert Petro akifuatilia kwa makini ibada ya leo. |
![]() |
| Waumini wakifuatilia hubiri |













Hakuna maoni:
Chapisha Maoni
Toa maoni hapa...